Muongozo: Vitu vya kuzingatia unapotaka kununua kompyuta

Kununua kompyuta iwe laptop au desktop huwachanganya watu wengi hasa wasiokuwa na uzoefu wa vifaa hivi maana ukifika dukani utakuta za kila namna na miundo tofauti, nimeona niandike makala hii kuwasaidia wale wanunuaji wapya wapate muongozo ili angalau wanapokwenda dukani wajue wanataka nini. 10. MatumiziUnapotaka kununua kompyuta, jambo la kwanza ni kujua unataka kwa ajili… Read More Muongozo: Vitu vya kuzingatia unapotaka kununua kompyuta

Smartphone: Vitu vya msingi vya kuangalia kabla ya kununua smartphone ya kisasa.

1.Betri:ukubwa wa betri unatagemea na uwezo wake wa kutunza charge hivyo ukinunua smartphone hakikisha ina angalau 3000 mAH na kuendelea. Betri yenye ukubwa huu unaweza kuitumia siku nzima kwa matumizi mchanganyiko bila ya kuichagi.  2.”4G/Lte”.:ni uwezo wa kimtandao wa simu yako ambao unaweza kukusaidia kupakua mpaka 150M mpaka 300MB kwa sekunde na kuangalia hata “HD”… Read More Smartphone: Vitu vya msingi vya kuangalia kabla ya kununua smartphone ya kisasa.

Mtoto wa Nipsey Hussle na Muigizaji Lauren kurithi Mabilioni

Ni miezi mitatu imepita tokea Rapper Nipsey Hussle afariki sasa imeripotiwa kuwa mtoto wa Nipsey, Kross Asghedom aliyezaa na muigizaji Lauren London atapewa kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni 2 za Kitanzania kama pesa za uhifadhi ‘Guardianship’ kwenye urithi wa baba yake. Kwa mujibu wa nyaraka zilizohifadhiwa na mtandao wa The Blast umeripoti kuwa mama mzazi wa mtoto huyo Lauren London amefungua faili kwa ajili ya… Read More Mtoto wa Nipsey Hussle na Muigizaji Lauren kurithi Mabilioni

Mume alietangaza Mkewe kapotea akiri kumuua kwa kumchoma kisha kuzika majivu

Polisi Temeke imethibitisha kumshikilia Khamisi Luongo kwa kosa la kumuua mke wake Naomi Marijani aliyedaiwa kupotea kwa zaidi ya miezi miwili na picha yake kusambazwa mitandaoni,Luongo amekiri kumuua mkewe kisha kumchoma kwa mkaa magunia mawili na kuyazika majivu shambani kwake. “Baada ya kumuua mke wake na kuuteketeza mwili kwa moto, Luongo alichukua majivu akaweka kwenye… Read More Mume alietangaza Mkewe kapotea akiri kumuua kwa kumchoma kisha kuzika majivu

Nguli wa dawa za kulevya EL Chapo Guzman ahukumiwa kifungo cha maisha gerezani

Leo July 17, 2019 Nakusogezea stori kutoka nchini Marekani ambapo Muuza dawa za kulevya nguli Duniani El Chapo Guzma amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani pamoja na miaka 30, hukumu hiyo imetolewa na Mahakama ya Marekani. Mahakama ya Shirikisho New York imemkuta El Chapo na hatia katika makosa 10, ikiwemo kusafirisha dawa za kulevya, utakatishaji fedha. El Chapo alitoroko… Read More Nguli wa dawa za kulevya EL Chapo Guzman ahukumiwa kifungo cha maisha gerezani

Nimekusogeza picha 10 za Mastaa wakiwa kwenye sura ya kizee ‘Face challenge’

Tumezoea kuona challenges tofauti tofauti zinazotrend kwenye mitandao ya kijamii na watu huzifanya na kuzipost kupitia kurasa zao, sasa imeibuka hii nyingine ya ‘Face Challenge’ ambapo mastaa tofauti wamepost picha na kuonekana wamezeeka. Sio mastaa tu kutokea Tanzania ndio wamejihusisha na challenge hii, ‘Face Challenge’ imeonekana kutawala duniani kote na kuiteka mitandao ya kijamii. Nakusogezea… Read More Nimekusogeza picha 10 za Mastaa wakiwa kwenye sura ya kizee ‘Face challenge’

Serikali imefuta kesi 70 za Watuhumiwa katika gereza la Butimba

Serikali imefuta kesi 70 zilizokuwa zinawakabili watuhumiwa mbalimbali waliokuwa kwenye gereza Kuu la Butimba ikiwepo kesi namba moja ya uhujumu uchumi namba moja ya mwaka 2019 ya utoroshaji wa dhahabu inayowakabili askari Polisi wanane mkoani Mwanza. Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Augustino Mahiga, amesema hayo alipozungumza na waandishi wa habari Jijini Mwanza, leo Jumatano… Read More Serikali imefuta kesi 70 za Watuhumiwa katika gereza la Butimba

Sayari Nyingine Saba Zagunduliwa,Ni Sawa Na Dunia

Wataalam Wa Masuala Ya Anga Wa Marekani Wakishirikiana Na Wengine Duniani ,Wamefanya Ugunduzi Mkubwa Wa Sayari Saba Zenye Ukubwa Sawa Na Dunia Ambazo Zinaizunguka Nyota Mojawapo Kama Ilivyo Kwa Dunia Kulizunguka Jua. Wanasayansi Hao Wa Anga Za Mbali Kutoka Marekani,Uingereza Na Ubelgiji, Wamebainisha Kuwa Sayari Hizo Saba Walizozigundua Zinaizunguka Nyota Ijulikanayo Kwa Jina La Trappist… Read More Sayari Nyingine Saba Zagunduliwa,Ni Sawa Na Dunia